Baba mzazi wa Abdul Nondo Aishangaa Serikali Kuhoji Uraia wa Mtoto Wake...Afunguka Mazito


Baba mzazi wa Abdul Nondo amesema kuwa, anashangaa wanaohoji kuhusu uraia wa mwanae kwani Babu yake Nondo ni mzaliwa wa Ujiji, Kigoma na Muasisi wa TANU.

Asema, hana hofu sababu vyeti walivyoviomba vipo, lakini waelewe kuwa wao ndio Wamanyema halisi na ni raia wa nchi hii
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad