Bora Masogange Alishahukumiwa- Wema Sepetu

Image result for wema na masogange


Malkia wa Bongo Muvi, Wema Sepetu, amefika tena mahakamani leo kusikiliza kesi inayomkabili ya matumizi ya madawa ya kulevya, ambpo amesema upande wa mashtaka wameshawasilisha maelezo yao na umebaki upande wao kuweza kujitete ambapo kesi hiyo imesogezwa mbele mpaka mwezi Mei.

Akiwa mahakamani hapo Wema amesema hana matumaini yoyote juu ya kesi yake isipokuwa anasubiri sheria ifuate mkondo wake, huku akisema ni bora Marehemu Agness Masogange alifanikiwa kumaliza kesi yake na akatozwa faini, lakini kwa upande wake anasubiri tu sheria ifanye kazi yake.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad