Breaking News : Ajali Mbaya Yatokea Tabora, Fuso na Basi la City Boy Zagongana Uso kwa Uso


Taarifa zilizotufikia usiku huu zinaeleza kuwa kuna ajali mbaya sana ya basi la City Boy linalofanya safari zake kati ya Dar na Karagwe Kagera limegongana na Fuso huko Igunga mkoani Tabora
-
Taarifa zaidi zinasema ajali hiyo imesababisha vifo kadhaa (idadi kamili bado haijafahamika)
-
Tunaendelea kufuatilia kwa kina ajali hii na tutawajuza zaidi..

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad