Hatimaye Majibu ya Rufaa ya Wambura Kujulikana Leo

Hatimaye Majibu ya Rufaa ya Wambura Kujulikana Leo
Taarifa kutoka TFF zinaeleza kuwa Kamati ya Maadili ya Shirikishi hilo inatarajiwa kutoa majibu ya rufaa ya aliyekuwa Makamu wa Rais, Michael Richard Wambura, dakika kadhaa zijazo kuanzia sasa.

Wambura alikata rufaa kupinga kufungiwa maisha kujihusisha na soka baada ya kudaiwa kufanya ubadhirifu wa fedha za shirikisho pamoja na makosa mengine ndani ya TFF.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad