Hivi ndio Vikosi vya Simba SC na Yanga SC

Ikiwa ni masaa tu yanasubiriwa kuanza kwa mtanange wa mechi kati ya klabu ya Simba na Yanga kunako dimba la Uwanja wa Taifa, tayari vikosi vya timu zote mbili vimeshatangazwa.



Yanga hao watawakosa wachezaji wao muhimu kama Amis Tambwe na Donald Ngoma ambao wote ni majeruhi huku Simba ikiwa na wachezaji wake wote muhimu ambapo mashambulizi yataongozwa na Emmanuel Okwi na John Bocco.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad