Huyu ndio Shemeji/Wifi yetu 'Mkali' Kwa Nikki wa Pili


"Kila nikiona kibinda nadinda nakitia mimba" Moja ya mstari kwenye ngoma zake...Je unadhani ilikuwa tu bahati mbaya akaimba hiyo line? Basi unaambiwa huyo ndo Mchumba wa Nikki wa Pili , Anakibinda si cha nchi hii...Naona harusi nyingine ya Staa Bongo hivi karibuni....
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad