John Heche Afikishwa Mahakama

John Heche Afikishwa Mahakama
Mbunge wa Tarime Vijijini kupitia (CHADEMA), John Heche amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kusomewa mashtaka yanayomkabili.

Heche nae anakabiliwa mashtaka kama waliyofunguliwa Viongozi saba wa CHADEMA akiwemo Mwenyekiti Freeman Mbowe ambao wapo nje kwa dhamana.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad