Lema Anena Maneno Mazito kwa Jeshi la Polisi

Lema Anena Maneno Mazito kwa Jeshi la Polisi
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ameandika katika ukurasa wake wa Twitter “Kazi ya Polisi ni kazi zenye heshima ni kazi ya kujitolea kwa ajili ya wengine,”

“Sura hii imepotea na kuna chuki kubwa ambayo ni hatari kwa ustawi wa nchi. Matukio dhidi ya raia yanaleta wasi wasi katika nchi. Kiongozi anayejali nchi hapaswi kuwa kipofu na asiweze kuona mambo haya” -ameandika Lema

Tags

Top Post Ad

Below Post Ad