Majaji Wawili wa Mahakama Wajihudhuru Nafasi Zao


Majaji Wawili wa Mahakama Wajihudhuru Nafasi Zao
Majaji wawili wa Mahakama ya Katiba nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamejiuzulu kwenye nafasi zao, na kusalia majaji sita badala ya tisa katika Mahakama hiyo.
Jaji mmoja alifariki dunia siku ya Jumapili na wengine wawili wamejiuzulu bila hata  kutoa maelezo au sababu ya kujuzulu kwao.
Majaji hao ambao ni  Jean-Louis Esambo na Banyaku Luape wamedaiwa kutoripoti katika Mahakama ya Katiba, Mnamo Oktoba 17, 2016, ambayo ingetoa uamuzi muhimu kuhusu hatma ya DRC.
Imeelezwa kwamba Tangazo hilo limeishangaza serikali ya DRC kwa uamuzi  huo ingawa majaji hao wawili walionesha zaidi ya mara moja maoni tofauti na rais wa mahakama hiyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad