Mambo ni Hivi Video ya Daimond na Hamisa Mobeto Wakifanya Yao Yavuja Kitandani

Mambo ni Hivi Video ya Daimond na Hamisa Mobeto Wakifanya Yao Yavuja Kitandani
IMEVUJA! Video inayomuonyesha msanii maarufu wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Paltnumz’ na mzazi mwenzake, Hamisa Mobetto imesambaa mitandaoni ikiwaonyesha wawili hao wakipeana mahaba mazito kitandani.

Hii imetokea ikiwa ni wiki mbili tangu wawili hao walipokutana live kwenye Tuzo za SZIFF pale Mliamni City Dar ambapo Diamond alimkumbatia mwanamama huyo na kupigana mabusu motomoto mbele ya umati uliofika kushuhudia tukio la tuzo hizo.

Katika video inayosambaa inawaonyesha wawili hao wakiwa kitandani wakijiachia, huku mashabiki mitandaoni wakieleza kwamba huenda wamerudiana ili kulea mtoto wao.

SOMA PIA: Nafasi za Ajira Serikalini Zilizotangazwa Leo

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad