Maneno ya Maua Sama Baada ya Kuvuja kwa Video ya Nandy Akiwa Kwenye Mahaba Mazito na Bill Nass

Maneno ya Maua Sama Baada ya Kuvuja kwa Video ya Nandy Akiwa Kwenye Mahaba Mazito na Bill Nass
Stori kubwa kwa sasa ambayo imechukua headlines za kutosha katika burudani Bongo, ni kusambaa kwa video ya Nandy na Bill Nass ambayo inawaonyesha wakiwa faragha.

Msanii Maua Sama katika mahojiano na 5 Selekt, EATV amesema kitu hicho kinaweza kumtokea mtu yeyote na anaamini video hiyo imesambaa kwa bahati mbaya.

“Nafikiri ile ni bahati mbaya inaweza kumtokea mtu mwingine yeyote japokuwa i cant say much lakini mimi naona kama imetokea bahati mbaya,” amesema Maua Sama.

Utakumbuka hapo jana Nandy aliomba radhi kwa mashabiki wake kwa kile kilichotokea; Napenda kuchukua nafasi hii kuwaomba radhi SANA SANA familia yangu, Ndugu zangu, Mashabiki wangu na Serikali kwa kilochotokea, bado siko sawa.. naomba mniombee uzima.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad