“Mimi Sielewi Mkisema Nchi Hii ina Amani”-Mbunge Bwege

Mbunge wa Kilwa Kusini Selemani Busagara maarufu Mbunge BWEGE akiongelea matukio ya Askari Polisi kutuhumiwa kuwakamata na kuwaua baadhi ya watu jimboni kwake.

Busagara amesema…
“Jimboni kwangu kuna watu karibu sita  hadi sasa hawajulikani walipo na mara ya mwisho walikamatwa na Polisi lakini kila tunapotaka kujua wamewekwa wapi hatujafanikiwa.  Nchi yetu ina matatizo sana na siamini kama ni nchi yenye amani”

VIDEO:
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad