Mtandao wa Telegram Umetoweka Hewani kwa saa Kadhaa kwa Watumiaji Wengi Duniani


Mtandao wa #Telegram umetoweka hewani kwa saa kadhaa kwa watumiaji wengi duniani
-
Mwanzilishi wake Pavel Durov amekiri kuna tatizo katika miundombinu yao (server)
-
Ni siku chache baada ya mtandao huo kufungiwa na serikali ya Urusi baada ya kukataa kushirikiana na shirika la kijasusi la nchi hiyo lakini bado ukaendelea kupatikana kwa watumiaji nchini humo
-
Telegram umekuwa mtandao mwiba kwa serikali nyingi duniani kufuatia kuweka mazingira magumu kiusalama kwa serikali hizo kuweza kupata taarifa za watumiaji wa mtandao huo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad