Web

Mwanamke Akamatwa na Kufungiwa Kwa Kosa la Kuwapa Wanawake Wenzake Mimba za Bandia

Top Post Ad


GUINEA: Mwanamke mmoja(N'na Camara) ambaye aliuza dawa za kienyeji kwa wagumba, akiwaambia kuwa wangepata mimba, amefungiwa miaka mitano kufanya kazi hiyo
-
N'na Fanta Camara anadaiwa kuwalaghai zaidi ya wanawake 700 kwa kutengeneza dawa ya kienyeji ambayo ilisababisha matumbo yao kufura na kuonekana kuwa ni wajawazito
-
Camara, alipatwa na hatia ya kuwapatia wanawake hao dawa zilizowadhuru na zilizoweka maisha yao hatarini. Aliagizwa kulipa fidia ya dola za Marekani 165,000
-
Mwaka 2006 shirika la afya duniani lilisema kuwa asilimia 80 ya waafrika walitumia matibabu ya kienyeji.

Below Post Ad

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.