Nakua Chizi Kwa Wivu wa Mke Wangu...

Nina mke mmoja ambae tunapendana sana, tatizo ana WIVU kupindukia.

1.Ninapoingia tu home ananidaka na kuninusa nguo, akisikia pafyum kwa mbali MATATIZO,
Mim situmii pafyum ila usafiri wa daladala kwetu ni shida, mnabana hadi kupumua shida. Matokeo yake sipendi watu waniguse kitu ambacho ni kigumu kwenye usafiri wa jumuiya!

2.Kila ninapoenda anataka nitume picha kwa Whatsap, hata kama kwenye daladala nimesimama, anataka nipenye dirishan nipige hilo eneo,au nijipige kitu ambacho watu hawakubali maana wanaona unawapiga wao!

Yaani nimekuwa mtu wa kupiga piga picha mpaka ofisini wananishangaa

Je Hii ni sawa Kwa Wenzangu?

JE NIFANYEJE MAANA TUNAPENDANA SANA.

SOMA PIA: Nampenda Kwasababu Ananigusa Penyewe Kwenye Kipele..
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad