Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"

Nuh Mziwanda Ampa Makavu Daimond " Wanawake ni Kama Mama Zetu Tunapaswa Kuwaheshimu"
Msanii wa muziki, Nuh Mziwanda amedai kitendo alichokifanya Diamond sio cha kiungwana kwani wanawake wote ni kama mama zetu hivyo tunapaswa kuwaheshimu.

Muimbaji huyo amesema hayo muda mchache baada ya rais huyo wa WCB kuachia video akishikana shikana na wanawake wawili tofauti.

Tayari Diamond ameshahojiwa na jeshi la polisi na wamedai watamchukulia hatua za kisheria muimbaji huyo wakimkuta na hatia.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad