Patoranking Atua Bongo..... Ampa Shavu Msanii wa Bongo

Patoranking Atua Bongo..... Ampa Shavu Msanii wa Bongo
MSANII maarufu wa Nigeria, Patoranking ametua Bongo kwa ajili ya kumtambulisha msanii mpya wa Tanzania, Walid ambaye amemsainisha kwenye Record Lebo yake iitwayo iitwayo Amari Music.



Baada ya kutua Bongo, Patoraking alifunguka kuwa alikutana na Walid nchini Holland miaka miwili iliyopita na msanii huyo alipomsikiliza nyimbo zake, Patoraking aliipenda kazi ya kijana huyo na kumuahidi ndani ya miak miwili angemchkua na kumsainisha kwenye lebo yake hiyo mpya.



Aidha, Patoraking alisema kwa sasa tayari amefanya nyimbo mbili akishirikiana na Walid ambazo zimeshatoka na kusema msanii huyo ndiye anamuandikia mashairi yake kwa lugha ya kiswahili.Patoraki
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad