
Hayo ameyasema leo Aprili 9, 2018 Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, George Mkuchika, Bungeni Mjini Dodoma na kueleza kwamba, watumishi hao waendelee kubaki kazini mpaka watakapostaafu kwa mujibu wa sheria.
Aidha, serikali imesema watumishi ambao hawana vyeti vya kidato cha nne na waliajiriwa baada ya Mei 20, 2004, hawatarudishwa kazini.