Tazama Picha Kutoka Katika Sherehe ya Ali Kiba na Abdu Kiba Usiku Huu

Leo ndio ule usiku tuliokuwa tukiusubiria sisi mashabiki wa muziki mzuri.
Maharusi washaingia ukumbini, kwa sasa First Lady Mstaafu, Bi Salma anawapa vijana mawaidha.
Kuna watu maarufu wengi wamehudhuria kutoka Tanzania na Kenya pia.
Tuwatakie maisha mema vijana hawa 







Tags

Top Post Ad

Below Post Ad