TID Amuweka wazi Mpenzi Wake Ampa Ujumbe Huu

TID Amuweka wazi Mpenzi Wake Ampa Ujumbe Huu
Msanii mkongwe katika game ya muziki wa Bongo fleva Khalid Mohamed “TID” ameamua kuweka wazi mahusiano yake ya kimapenzi kupitia ukurasa wake wa instagram

TID ameandika caption inayosema >>>“Kheri ya Pasaka, usikubali mtu akushushe chini kwenye sikukuu hii, kutoka katika moyo wangu naomba niweke wazi kwa kila mtu kuwa Niko mapenzini”



Inasemekana kuwa TID amefanya hivyo kuwajuza wale wote ambao wamekuwa wakizusha tetesi kuhusiana na mahusiano yake na kuhusishwa kuwa na wanawake tofauti tofauti kwenye mitandao ya kijamii.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad