
Hayo yamebainishwa na taarifa zilizotolewa na mamlaka hiyo jioni ya leo (Jumatatu) na kudai kutakuwepo na upepo unaotarajiwa kuvuma kutoka Kusini- Mashariki kwa kasi ya Km 20 kwa saa kwa Pwani yote huku hali ya bahari inatarajiwa kuwa na mawimbi madogo
Kwa taarifa kamili angalia hapa chini.
