VIDEO:Yanga ilivyoifunga 2-0 Waloitta ya Ethiopia leo

Yanga wakiwa nyumbani watimiza matarajio ya wengi ya kupata ushindi dhidi ya Wolaitta ambao wanaonekana wageni katika michuano hii na ndio mara yao ya kwanza kushiriki hatua hii, kitu ambacho kimeisaidia Yanga kupata ushindi wa magoli 2-0  ambayo yamefungwa na Rafael Daudi dakika ya 1 na Emmanuel Martin dakika ya 54.

VIDEO:

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad