Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan Afutwa Kazi

Waziri wa mambo ya nje wa Sudan afutwa kazi
Waziri wa mambo ya nje wa Sudan Ibrahim Ghandur amefutwa kazi.

Katika taarifa iliyotolewa ni kwamba rais Omer al-Bashir amemfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje Ibrahim Ghandur.

Hata hivyo mpaka sasa hakuna maelezo kamili ya sababu kuu ya kufutwa kazi kwa waziri huyo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad