Aunt Ezekiel Kuzindua Filamu Yake Mey 13

Aunt Ezekiel Kuzindua Filamu Yake Mey 13
Msanii maarufu wa filamu nchini, Anty Ezekiel, anatarajia kuzindua filamu yake mpya aliyoipa jina la ‘Mama’, siku ya Jumapili Mei 13 mwaka huu yenye maudhui ya kuenzi na kutambua mchango wa mwanamke kama mama kwenye jamii,



Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Anty  amesema kuwa ameamua kuonyesha umuhimu na thamani ya mwanamke katika jamii kutokana na nafasi ya mama.



Uzinduzi huo wa filamu hiyo unatarajiwa kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam Mei 13 mwaka huu.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad