Beki wa Liverpool Akunywa na Wacha Waoane ya Daimond na Chege Ajirekodi Akicheza

Beki wa Liverpool Akunywa na Wacha Waoane ya Daimond na Chege Ajirekodi Akicheza
Ngoma ya Chege aliyomshiriksha Diamond Platnumz ‘Waache Waoane’ bado ipo kwenye headlines zake za kiburudani.

Hii ni baada ya beki wa Liverpool, Dejan Lovren ku-share video mtandaoni akisikiliza na kucheza wimbo huo.


Ngoma Waache Waoane ilitoka Augost 4, 2016, wimbo huo uliotayarishwa Wasafi Records hadi sasa una views Milioni 8.3 katika mtandao wa YouTube.

Top Post Ad

Below Post Ad