Breaking News: Familia ya heche yakubali kumzika Suguta

Habari zilizotufikia hivi punde nikwamba Familia ya Mbunge John Heche yakubali kumzika ndugu yao Sunguta Chacha.

Baada ya Familia ya Heche kukataa kumzika ndugu yao kutokana na kuuawa na Polisi siku 4 zilizopita leo Familia hiyo imetangaza kuwa imeridhia kumzika ndugu yao.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad