Diwani na Msanii Baba Levo Apandishwa Kizimbani Kwa Kutoa Kichapo Kwa Muuguzi


Msanii wa Bongo Fleva Levocatus Chipando maarufu kwa jina la Baba Levo ambaye ni Diwani wa Kata ya Mwanaga Kaskazini katika Manispaa ya Kigoma Ujiji amepandishwa kizimbani leo katika Mahakama ya Wilaya mkoani Kigoma kwa tuhuma za kumpiga muuguzi wa zahanati ya Msufini.
.
.
TOA MAONI YAKO HAPA
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad