Haji Manara Afunguka Kuondoka Simba

Haji Manara Afunguka Kuondoka Simba
Hatimae Msemaji wa Club ya soka ya Simba Haji Manara ameongea kuhusu taarifa za yeye kuacha kufanya kazi na Club hiyo ambayo juzi ilipata ushindi wa 1-0 vs Yanga uwanja wa Taifa.

Maneno ya Manara leo ni haya >>> “Siondoki Simba na naomba muelewe hvyo..ninafanya kazi sehemu sahihi na wakati sahihi….rafiki zangu na washabiki wa klabu muelewe hvyo..walichokitangaza ni uzushi…nawezaje kuwaacha simba kipindi hiki muhimu?”

Top Post Ad

Below Post Ad