Nahreel Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Kuhusu Rosa Ree Kutoka Lebo ya The Industry

Mtangazaji wa Wasafi Kipindi cha Refresh akimuhoji Nahreel kuhusu issue inayo endelea mtaani kuwa The Industry ilikuwa inambania Rosa Ree na Baada ya Kutoka katika Lebo hiyo inaonekana amepata mafanikio zaidi Nahreel amejibu hivi na kuweka mambo sawa :

" Nadhani Rosa Ree Watu Wamemjua Kupitia the Industry Kwahiyo hiyo ni tosha sisi tuliplay part yetu, na Kama Rosa alichokisema ilifika wakati ilibidi aendelee na mambo yake na sisi tukamlet aendelee na issue zake, sisi hatuna tatizo na Rosa Ree na hatujawahi kuwa na tatizo na mtu yoyote tuliplay part yetu na yeye anaplay part yake" Nahreel

Tazama VIDEOl:

Top Post Ad

Below Post Ad