Nilimfumania Mwanamke Wangu na Jamaa Mwingine Kitandani, Nikamsamehe..Baada ya Mwezi Ananiambia Ana Mimba yangu

Nilimfumania mwanamke wangu na jamaa mwingine chumbani kwetu kitandani kwetu. Nilimwacha kwa muda lakini alirudi na kuniomba msamaha tukarudiana. Ila sasa ananiambia ni mjamzito alivyoniambia tu ni mjamzito hasira zimenirudi. Sijui ni ujauzito wangu au sio. Na pia sina uhakika kama ameshaachana na yule jamaa niliyemfumania nae ama la.

Naombeni ushauri

Tags

Top Post Ad

Below Post Ad