Serengeti Boys Yatua Dar na Kombe Yapewa Mapokezi Makubwa

Serengeti Boys Yatua Dar na Kombe Yapowa Mapokezi Makubwa
Timu ya taifa ya Tanzania ya vijana chini ya umri wa miaka 17 maarufu kama Serengeti Boys, alfajiri ya May 1 2018 iliwasili Tanzania ikitokea Burundi ilipokuwa inashiriki michuano ya CECAFA U-17 kwa mwaka 2018

Serengeti Boys ambao wametwaa taji la michuano hiyo kwa kuifunga Somalia kwa magoli 2-0 na kutwaa taji hilo, walipokelewa na watu mbalimbali akiwemo waziri wa habari, utamaduni na michezo Dr Harrison Mwakyembe nae alijitokeza kuwapokea.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad