Tuache Kufananisha Nyumba na vitu vya Maana Kama Bia


Kila ukinywa bia *1* umekunywa tofali *2* za kujengea. Bia 1 kwa bei ya kawaida ni *Tsh.2500/=* na tofali *1* la inch *6* kwa maeneo mengi ya nchi ni bei isiyozidi *Tsh.1300/=.*

Kama unakunywa wastani wa bia *5* kwa siku (kipimo cha kawaida) it means unakunywa bia *1,825* kwa mwaka sawa na tofali *3,650.

Tofali *3,650* zinatosha kujenga nyumba *1* ya room *3* self contained ya kisasa

Hii inamaanisha kuwa kama wewe ni mnywaji basi kila mwaka unakunywa angalau nyumba *1 au 2.

Sasa hebu jiulize tangu umeanza bia hadi leo umeshakunywa nyumba ngapi?

Anyway.._
Tuache kufananisha nyumba na vitu vya maana kama Bia

*Muhudumu ongeza bia*

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad