Video:Maskini! Irene Uwoya Azidi Kuwalilia Masogange na Ndikumana

Video:Maskini! Irene Uwoya Azidi Kuwalilia Masogange na Ndikumana
Muigizaji Irene Uwoya amezidi kuonyesha jinsi alivyopata pigo kubwa kuhusiana na kifo cha rafiki yake wa karibu Marehemu Agnes Masogange aliyefariki April 20,2018 na pia kifo cha aliyekuwa mume wake Marehemu Hamad Ndikumana aliyefariki November 15,2017 na walibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume ambaye ni Krish.

Irene Uwoya amepost video itliyoambatanisha picha za Marehemu Agnes Masogange na Marehemu Hamad Ndikumana na kupost kwenye instagrma page yake.

Top Post Ad

Below Post Ad