Agizo la Dr Tulia kwa Serikali baada ya samaki kukamatwa bungeni


Naibu Spika Dr Tulia Ackson ametoa maagizo kwa Serikali hadi kufikia kesho kesho iwe imewasilisha Bungeni taarifa kamili kuhusiana na tukio la maofisa wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi wanaodaiwa kuingia katika canteen ya viwanja vya Bunge na kupima samaki waliodai kuwa hawajakizi vigezo vya kuvuliwa.

VIDEO:

Millard
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad