Ajali:Basi la Princess Hamida Lagonga Treni ya Mizigo Kigoma


KIGOMA: Basi la Princess Hamida limegonga treni ya mizigo iliyokuwa inatoka Kigoma kuelekea Tabora asubuhi hii eneo la Kigoma Mjini
-
Watu saba wamefariki huku idadi ya vifo ikihofiwa kuongezeka kutokana na hali mbaya za majeruhi
-
Inaelezwa kuwa basi hilo nilikuwa likitoka Kigoma kuelekea Tabora

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad