Breaking News: Bajeti ya Upinzani Yazuiwa Bungeni, Wenyewe Wasusiwa Bunge

Breaking News: Bajeti ya Upinzani Yazuiwa Bungeni, Wenyewe Wasusiwa Bunge
Hotuba ya Bajeti mbadala ya Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni imekataliwa bungeni kutokana na kuwasilishwa nje ya utaratibu. Wabunge wa upinzani (isipokuwa wanaomuunga mkono Prof Lipumba ) wameondoka kwenye ukumbi wa Bunge.

Top Post Ad

Below Post Ad