CHADEMA Wangeniteua Nisingekubali, Mimi si Mwanasiasa – Dkt. Hellen Kijo-Bisimba

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Hellen Kijo Bi – Simba baada ya kustaafu amesema kuwa taarifa zilizoenea kwenye mitandao ya Kijamii za kuteuliwa na Baraza la Wazee wa Chadema si la Kweli na hata angeteuliwa na CHADEMA asingekubali kwasababu yeye si Mwanasiasa:

Tazama Video hii Akieleza.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad