Chemical "Hivi Diamond ni Nani Kwani Mpaka yeye tu Ndio Awe na Mafanikio Kuliko Wote?


Rapper Chemical Ameamua Kuvunja Ukinywa wa kile kinachoendelea ya kuwa Diamond ndio Mwanamuziki mwenye maendeleo kuliko wote Tanzania huku wengine wakiwa hawana chochote....Soma alichoandika kwenye picha

Una maoni gani juu ya hiki alichoandika @chemical_tz kuhusiana na @diamondplatnumz?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad