“Dodoma inaweza kuitwa jiji lakini bado ni kijiji”-Mbunge Mtolea



Leo Bungeni Dodoma Mbunge wa Kibakwe, George Simbachawene amewasilisha azimio la kumpongeza Rais Magufuli kwa uamuzi wa kuendeleza mji wa Dodoma na kuupa hadhi ya Jiji. Baada ya uwasilishaji wa azimio hilo mmoja wa wabunge waliopata nafasi ya kujadili azimio hilo ni mbunge wa Temeke, Abdallah Mtolea.


Top Post Ad

Below Post Ad