“Jamani Hali ni Mbaya, Watu Wanafunga Biashara” –Mbunge Hawa

Mbunge wa viti maalum CHADEMA Hawa Mwaifunga amelieleza Bunge kuwa wafanyabiashara nchini wamekuwa na hali ngumu kutokana baadhi ya wafanyakazi ya TRA kuwatengenezea mazingira ya kuwakamatisha ili mwisho wa wiku wapewe rushwa Tazama VIDEO:
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad