Jibu la Ruby Kuhusu Kujihusisha na Mambo ya Ushirikina


Msanii wa Bongo Flava, Ruby amefunguka kuhusu kuhusisha muziki wake na masuala ya kushirikina.

Muimbaji huyo anatayetamba na ngoma ‘Niwaze’ katika mahojiano na Papaso, TBC FM amesema kwa upande wake ni kitu ambacho hakifahamu kabisa.

“Siko hivyo na wala sijawahi, mimi nina bibi yangu, nina babu yangu wapo Tanga na ndio nyumbani kwetu hayo mengine siyajui,” amesema Ruby.

Ameendelea kwa kusema kuwa siri ya mafanikio ni Mungu, kufanya muziki mzuri, kuwapenda mashabiki wake na aina ya watu ambao ameamua kufanya nao kazi.

 Tazama Rosa Ree na Emtee Walivyokinukisha Kwenye Chupa Hili..Bonyeza Play

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad