Kombe la Dunia: Serbia Yang'aa Kwa Costa Rica



Goli pekee la nahodha wa Serbia, Aleksandar Kalarov limetosha kuipa timu yake pointi tatu muhimu  dhidi ya Costa Rica.

Kalavor aliiandikia timu yake goli la kwanza na la ushindi dakika ya 35 kwa mpira wa adhabu nje kidogo na eneo la kumi na nane na mpira kuzama moja kwa moja vyavuni.

Mchezo huu wa kundi E ulichezwa jana saa tisa mchana katika uwanja wa Samora Arena
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad