Korea Kaskazini Yaanza Kuachia Mateka wa Marekani

Korea Kaskazini Yaanza Kuachia Mateka wa Marekani
Rais wa Marekani Dold Trump akizungumza na shirika la habari la Fox News, amesema siku ya Ijumaa  Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (DPRK) imeanza kurejesha mabaki ya wanajeshi wa Marekani waliopotea katika vita ya Korea (1950-53).

Trump alikutana na kiongozi wa juu wa DPRK Kim Jong Un nchini Singapore siku ya Jumanne, tukio la kihistoria ambalo lilifuatwa na taarifa ya pamoja.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad