Maskini: Msanii D'Banj afiwa na Mtoto wake


Habari zilizopatikana ni kwamba mtoto wa kiume wa mwanamuziki maarufu wa Nigeria,  D’Banj, amefariki dunia. 

Mtoto huyo ambaye alimzaa na mkewe Didi Lineo mnamo  Mei 2017 na aliyepewa jina la D’Banj mwenyewe la Daniel Oyebanjo III, inasemekana kwamba amekufa kwa kuzama majini. 

D’Banj ameshea picha ya rangi nyeusi kwenye akaunti yake ya Instagram na kuandika: 

Trying Times 💔🖤. But my God is Always and Forever Faithful 🙏. 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad