Mchungaji wa Kabisa Auawa kwa Kushambuliwa na Mamba


ETHIOPIA: Mchungaji wa Kanisa la Kiprotestanti, Docho Eshete ameuawa kwa kushambuliwa na Mamba

Mchungaji huyo amekumbwa na mauti wakati akiwabatiza waumini wapya wa kanisa lake

Mchungaji, Docho alikuwa ameanza kumbatiza muumini wa kwanza kati ya 80 waliokuwa wakisubiri ubatizo

Tukio hilo limetokea kando ya Ziwa Ayaba

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad