
"Sijawahi kutumia dawa za kichina za kuongeza makalio kama watu wanavyofikilia. Mimi nina utofauti kidogo jinsi nilivyoumbwa kiukweli ukiachaSn hiyo shepu yangu watu wanayoiongelea, ukiniangalia tu unajua tu ni ‘Original".
**Ameyasema hayo Snura kuhusu Shepu yake