Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamlaani aliyesema kafariki kwa UKIMWI, wenyewe waeleza kilichomuua


Ndugu wa marehemu Sam wa Ukweli wamemjia juu producer wa muziki ambaye alikuwa wa kwanza usiku wa jana kutoa taarifa za kifo cha ndugu yao kinyume na taratibu huku akitangaza kuwa marehemu alikuwa anaugua ugonjwa wa UKIMWI wa kurogwa.


Mdogo na mjomba wa marehemu Sam wa Ukweli wamesema kuwa marehemu amekufa kwa malaria na UTI na magonjwa hayo yameanza kumsumbua tangu ijumaa ya wiki iliyopita baada ya kuwasili kutoka Singida alikoenda kwenye show.

Msikilize hapa mdogo mtu na Mjomba wa marehemu wakielezea sakata hilo pamoja na mipango ya mazishi ya ambapo kesho mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kwenda Bagamoyo kwa ajili ya mazishi.

VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad