Rais Magufuli Amteua Balozi Mstaafu Daniel Njolay Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mkurabita

Rais Magufuli Amteua Balozi Mstaafu Daniel Njolay Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mkurabita
Taarifa kutoka Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ni kuwa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli amemteua Balozi (mstaafu) Daniel Ole Njolay kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya MKURABITA na uteuzi wake ulianza tarehe 17 April, 2018.

Kufuatia uteuzi huo, kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo Kisheria, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma Kapt (Mstaafu) George H. Mkuchika (Mbunge) amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi hiyo.
Tags

Top Post Ad

Below Post Ad