Rosa Ree Afunguka Siri ya Mafanikio Yake

Rosa Ree Afunguka Siri ya Mafanikio Yake
MWANADADA ambaye hivi sasa anakimbiza na wimbo wake wa Way Up, Rosary Robert ‘Rosa Ree’, ametoboa siri nyingine ya kuzidi kutusua kimuziki na kufika hapo alipo, kiasi hata cha kupata menejimenti nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ kutoka Dimo Production.



Akichonga na Risasi Vibes, Rosa Ree alisema kuwa, siri hiyo ni namna ya uimbaji wake kwani haujakaa Kibongo sana na anajiweka ‘kimtoni’ zaidi ndiyo maana anafanikiwa.



“Ukiwasikiliza wanamuziki wa kike wa Bongo, wengi wanavyorap ni ‘local’ ndiyo maana hata hawatusui kama mimi, kikubwa aina yangu ya uimbaji inanifanya kupata mashabiki wengi zaidi nje ya Bango,” alisema Rosa Ree.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad