Tanzia: Shilole Apata Pigo Afiwa na Mzazi Mwenzie

Tanzia: Shilole Apata Pigo Afiwa na Mzazi Mwenzie
Muimbaji Shilole amethibitisha taarifa za msiba wa mwanaume huyo aliyezaa naye mtoto ambaye anafahamika kwa jina la Elias Makala, japo haijafahamika kuwa chanzo cha kifo cha marehemu  ni Ugonjwa au nini ila kupitia ukurasa wa Instagram wa muimbaji Shilole amethibitisha hilo.

Shilole amepost picha wakiwa pamoja na marehemu na kuandika …>>>“Pumzika kwa Amani baba Joyce 🙏🙏” – Shilole

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad